UTAFITI: Kufikia 2040 China itakuwa imefikia hatua hii ya teknolojia ya magari
Kwa sasa Serikali ya China, Wanasayansi na wataalamu wanafanya utafiti wa kuwezesha suala hili ambalo linatarajiwa kuanza kutekelezwa ifikapo mwaka 2040 na teknolojia hii inatarajiwa kuleta mapinduzi makubwa sana kwenye maendeleo ya viwanda duniani.
Nchi nyingine zenye mpango kama huu wa kuacha kutumia magari ya mafuta ni pamoja na Uingereza na Ufaransa.

Comments
Post a Comment